Mheshimiwa Angelina Mabula akiwa na wahitimu wa Chuo cha Ardhi Morogoro |
Wanachuo wakisoma risala |
Maandamano kuelekea sehemu yalikofanyika mahafali |
Mheshimiwa Angelina Mabula |
Mwanachuo akitoa maelezo kuhusu matumizi ya DGPS |
Wahitimu katika maandamano |
Mkurugenzi wa upimaji na ramani Bw. Lyamuya akieleza jambo wakati wa maonesho ya kitaaluma |
Mheshimiwa Angelina Mabula akifanya upimaji kwa kutumia darubini |
Mheshimiwa Angelina Mabula katika maonesho ya kitaaluma |
Mheshimiwa Angelina Mabula akiwa ofisini baada ya kuwasili katika chuo cha Ardhi Morogoro |
Mheshimiwa Angelina Mabula alipowasili katika chuo cha Ardhi Morogoro; aliye mbele yake ni Mwenyekiti wa Bodi ya chuo cha Ardhi Morogoro Profesa Mpanduji. |
Mkufunzi wa chuo cha Ardhi Morogoro akitoa maelezo kwa Mheshimiwa Angelina Mabula katika maonesho ya kitaaluma |