Walimu kutoka vyuo vitano vya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) hivi karibu walikuwa katika chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO) kujifunza matumizi ya vifaa vya upimaji. Mafunzo hayo ya wiki mbili yalihudhuriwa na walimu kumi (i.e walimu wawili wawili) kutoka vyuo vya VETA vya Mpanda, Singida, Shinyanga, Tabora na Ulyankulu.
Picha ya pamoja wakati wa kufunga mafunzo. Waliosimama kutoka kushoto ni: Colma Charles (Mkufunzi ARIMO), Leonidas Katabalo (Tabora RVTSC), Benitho Kigava(Mpanda RVTSC), Amani Msigomba (Singida RVTSC), Niyongabo Jotham (Ulyankulu RVTSC), Said A. Kafilameno (Singida RVTSC), Mussa Mashimba (Ulyankulu RVTSC), Salu Mashimo(Shinyanga RVTSC), Tumaini Mzuma (Tabora RVTSC) na Florence Kihundo (Shinyanga RVTSC). Waliokaa kutoka kushoto ni : Cuthbert Kayumbo (Mkufunzi ARIMO), Pius Kafefa (Mkufunzi ARIMO), Eng Daudi Kadinga (Mratibu wa Mafunzo kutoka VETA) na Nkungwe Shomari (Mpanda RVTSC).
Eng Daudi Kadinda akizungumza wakati wa kufunga mafunzo
Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakiwa Darasani
Unaweza kupata maelezo mafupi kuhusu mafunzo haya kwa kutazama video iliyopo katika mtando wa Youtube kwa link ifuatayo:
No comments:
Post a Comment